• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAKUU WA DIVISHENI VITENGO HALMASHAURI YA WILAYA GAIRO WAASWA KUWEKEZA KWENYE KILIMO

Posted on: June 25th, 2024

Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Juni 24.2024.

Mkurungenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Gairo Bi. Shariafa Nabalang’anya, amewaasa Wakuu wa Divhisheni na Vitengo pamoja na Watendaji wengine wa Halmashauri kuwekeza katika Kilimo cha mazao ya kimkakati ikiwepo parachichi na tumbaku, ili watakapo staafu wawe nashughuli mbadala ya kufanya.



Ametoa hamasa wakati wa kikao cha Wadau wa kilimo cha zao Tumbaku ya kukaushwa kwa jua kilichofanyika Juni 24.2024 katika ukumbi wa Mikutano wa Mkuu wa Wilaya, ambacho kiliwakutanisha Wadau mbalimbali wa zao hilo wakiwepo Wakulima, Eataalam wa Kilimo na Wanunuzi wa Tumbaku kutoka taasisi ya Mkwawa ya Mjini Iringa.

“Hata sisi Wataalam, tutumie fursa hii kununua mashamba na kuwekeza kwenye Kilimo cha zao la Tumbaku, tusione kuwa kilimo ni cha Wananchi peke yao. Hivyo natumia nafasi hii kuwahamasisha Wakuu wa Divisheni na Vitengo kuona fursa zilizopo kwenye Kilimo”. Alisema Mkurugenzi huyo.

Sambamba na hayo pia amewasisitiza wataala hao kujiunga na vyama vya ushirika vya Wakulima vilivyopo kwenye vijiji mbalimbali ili kuwawezesha kunufaika na fursa za kilimo ikiwepo upatikanaji wa mikopo ya kilimo kupitia vyama vya hivyo, huduma za ugani, upatikanaji wa pembejeo, mbolea na mbezu sambamba na uhakika wa soko wakati wa kuuza mazao yao.

Kikao hicho kitafuatiwa na mafunzo kwa maafisa Ugani wa Kata kwa lengo la kuwajengea uwezo Wataalama hao kupata ujuzi wa namna zao hilo linavyiozalishwa kuanzia hatua za awali za maandalizi ya vitalu, uchaguzi wa mbegu, upandaji, jinsi ya kulihudumia shamba, uvunaji na kaushaji kwa kutumia nteknolojia ya kukausha kwa jua

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa