• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAKAZI WA MKOA WA MOROGORO WANAKABILIWA NA UKOSEFU WA ELIMU YA FURSA KATIKA SEKTA YA KILIMO

Posted on: September 30th, 2022

Na. Cosmas Mathiasn Njingo

Morogoro.

Septemba 30.2022

Pamoja na kuwepo kwa ardhi yenye rutuba nzuri zaidi ya hekari milioni mbili inayofaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali ya biashara katika mkoa wa morogoro, ni asilimia 40 tu ya eneo la ardhi linalotumika kwa shughuli za kilimo, huku asilimia 60 zikibaki mapori tupu, hali ambayo inatajwa kuchangia uzalishaji usio na tija.

Dakta Chagoba Zaidi Mkangwa, Mtafiti Mstaafu kutoka Asasi ya Kiraia inayojihusisha na Utafiti, Ushauri na Taarifa za Kilimo, iliyopo Mkoani Morogoro, alisema pamoja na kuwepo na eneo kubwa la ardhi inayofaa kwa kilimo na ufugaji, ni sehemu ndogo tu ya ardhi inayotumika kwa ajili ya shughuli hizo, huku sehemu kubwa ya ardhi hiyo ikibaki bila matumizi yoyote, na kwamba Wakulima wengi hawajatambu namna ya kutumia fursa zilizopo.

“Tunaeneo kubwa sana la ardhi lenye ukubwa zaidi ya Hekari milioni mbili, lakini ni asilimia 40 tu inayotumika kwa ajili ya shughuli za kilimo, wakati asilimia 60 ya ardhi yote inabaki wazi. Lakini changamoto kubwa ni ukosefu wa elimu juu ya matumizi ya fursa zilizopo katika sekta ya Kilimo”. Alisema Dakta Mkamgwa.

Dakta Mkangwa, akasema kuwa Mkoa wa Morogoro una fursa nyingi za kwekeza katika sekta ya Kilimo, lakini wakazi wake wanakabiliwa na changamoto ukosefu wa elimu na taarifa za kutosha kuhusu namna ya kutumia fursa hizo ili kujikita katika kilimo chenye tija na kuondokana na hali ya umaskini.

“Pamoja na changanmoto mbalimbali, Wakazi wa Mkoa wa Morogor hawajui fursa nyingi zilizopo katika sekta ya kilimo, hii inasababisha kuwa na kilimo cha mazoea na matokea yake kupata mazao yasiyo na tija kwani chini ya asilimia 40 au chini ya hapo ya kiwango kinachotakiwa kuzalishwa”. Alisfafanua Daktari huyo.

Mkangwa akaeleza changamoto nyingine zinazosababisha kuzalisha mazao hafifu ni ukosefu wa elimu ya mbinu bora za kilimo, migogoro kati ya wakulima na wafugaji pamoja na uharibifu wa nazingira ikiwepo vyanzo vya maji na uchomaji wato misitu.

 

Aidha Dakta Mkangwa amewataka Wananchi hususani wakulima wa Mkoa wa Morogoro kutumia fursa hizo kwa kuhakikisha wanazingatia na kufuafuata kanuni za kilimo bora ili kuzalisha mazao yenye tija kwa lengo la kujikwamu kiuchumi.

Matangazo ya Kawaida

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Shule za Sekondari za Gairo December 16, 2022
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YATAKA UFANISI KATIKA UFUATILIAJI WA MAREJESHO YA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    December 07, 2022
  • WAGANGA WAKUU, WAFAMASIA WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUZINGATIA TARATIBU ZA UTOAJI DAWA

    December 06, 2022
  • SHERIA NDOGO YA KUDHIBITI SUMUKUVU KUWABANA WAKULIMA, WAUZAJI, WASAMBAZAJI, WASINDIKAJI WA MAZAO.

    December 05, 2022
  • WANAOISHI NA ULEMAVU, WAASWA KUTOJITENGA NA JAMII INAYOWAZUNGUKA

    December 03, 2022
  • Tazama zote

Video

VIBE LA MAKARANI WA SENSA GAIRO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa