• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAGANGA WAKUU, WAFAMASIA WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUZINGATIA TARATIBU ZA UTOAJI DAWA

Posted on: December 6th, 2022

Na Fred Kibano Chamwino – Dodoma

Disemba 6.2022

Serikali imewataka Waganga Wakuu na Wafamasia katika Halmashauri nchini kufuata taratibu za utoaji dawa kwa wagonjwa ili kuepuka malalamiko yasiyokuwa ya lazima.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt Festo Dugange leo tarehe 05.12.2022 alipokwenda kujionea utoaji wa huduma za afya kwa wananchi na maendeleo ya ujenzi wa hospitali ya Uhuru iliyopo Halmashauri ya Chamwino mkoani Dodoma

“Nataka mukikishe dawa zote muhimu zinapatikana kwa wagonjwa wote na zipatikane kwa asilimia 95 mpaka 100 sitarajii kupata malalamiko yoyote kwa wagonjwa ya kukosa dawa na wale watakaobainika na upotevu wa dawa hatua stahiki za kiutumishi zichukuliwe” alisema Mheshimiwa Dugange.

Mheshimiwa Dugange amesema ni lazima kila Mfamasia kukabidhi dawa zinazotoka Bohari Kuu ya dawa kwa kuthibitisha kwa maandishi kuwa amepokea na anayekabidhiwa andike jila lake na kusaini hali akibaki na nakala ya ushaidi juu ya mwenendo wa utumiaji dawa kwenye hospitali ili kuondoa malalamiko na ukosefu wa dawa.

Aidha amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI itapeleka gari la wagojwa katika hospitali ya Uhuru ili kuweza kuboresha zaidi huduma kwa wagojwa kwani miundo mbinu inayoendelea kujengwa ni dhamira ya Serikali kuendelea kuboresha ili kutoa huduma inayotarajiwa.

Kwa upende wake Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chamwino ametaja changamoto zinazo ikabili hospitali ya Uhuru upungufu wa majengo ya kutolea huduma kama wodi ya kulaza wagojwa wa upasuaji, wagonjwa wa dharura na ajali pamoja na jengo la kufulia na kutakasa vifaa na stoo

Ameishuku Serikali kwa kutoa vitanda 12, meza 12 pamoja na mashine ya mionzi pamoja na kupokea Mradi wa ujenzi wa jengo la kutengeneza hewa ya oksijeni

Matangazo ya Kawaida

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Shule za Sekondari za Gairo December 16, 2022
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIKAKATI YA SERIKALI KATIKA KUDHIBITI MAGONJWA YA MILIPUKO

    December 16, 2022
  • KAIRUKI: SIMAMIENI ZOEZI LA UCHUNGUZI WA AWALI WA WATOTO

    December 12, 2022
  • WATOA HUDUMA YA VYAKULA WATAKIWA KUPIMA AFYA KUFIKIA TAREHE 31 DISEMBA 2022.

    December 09, 2022
  • MADIWANI WATAKIWA KUSIMAMIA UKUSAJI MAPATO, KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO NA WATENDAJI WA KATA

    December 08, 2022
  • Tazama zote

Video

VIBE LA MAKARANI WA SENSA GAIRO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa