• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAAGIZWA KUANDA RATIBA YA KUTATUA MIGOGORO YA MIPAKA, ARDHI

Posted on: August 12th, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Agosti 12.2023

 

Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Makame amewaagiza Katibu Tawala Wilaya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kupitia Divisheni ya Ardhi na Mipango miji kuandaa ratiba ya kutembea kwenye kata na vijiji vyenye migogoro ya ardhi ili kutatua migogoro hiyo haraka.

Ametoa agizo hilo hivi karibuni alipofanya ziara ya kuona hali ya mgogo wa mipaka kati ya Wilaya ya Gairo na Wilaya ya Kiteto Mkoa wa Manyara na Kitongoji cha Matilei kilichopo Wilaya ya Kilindi Mkoa wa Tanga, katika kijiji cha Kitaita kitongoji cha Kinkuresha kilichopo kata ya Leshata Wilayani Gairo.

“Nawaagiza Katibu Tawala kwa kushiriiana na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kukaa pamoja na kupanga ratiba ya kutembelea Kata na Vijiji vyote vyenye migogoro ya mipaka na Ardhi ili kuona namna ya kutatua migogoro hiyo haraka iwezekanavyo.” Aliagiza Mhe. Makame

Amesema migogoro inakuwa sugu inasababisha shughuli nyingi za maendeleo kukwama hali ambayo inawanyima fursa wananchi katika maeno husika kunufaika na shughuli mbalimba za miradi ya maeneleo inayoletwa na Serikali sambamba na kuwanyima fursa muhimu ya kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji, Kata na Taifa kwa ujumla.

Makame alisema migogoro yote inayohusu mpaka inapaswa kushughilikwa hara iwezekanavyo kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wa Viongozi Serikali za Mitaa mwaka 2024 na Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakao fanyika mwaka 2025.

“Migogoro inapozidi inaleta athari kubwa sana kwenye shughuli za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, lakini pia inaathiri chaguzi za viongozi kwa ngazi za Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Waheshimiwa Madiwani”. Alifafanua.

Kwa upande mwingiNE Mhe. Makame amewataka Katibu Tawala Wilaya na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kuandika barua kwenda kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro ya kukumbushia hatua zilizofikiwa za utatuzi wa mgogoro wa mpaka baina ya Wilaya ya Gairo Mkao wa Morogoro na Wilaya ya Kiteto Mkoa wa Manyara ili kupata ufumbuzi wa haraka wa mgogoro huo mapema kabla ya chaguzi zijazo.


Matangazo ya Kawaida

  • FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO, SHULE YA SEKONDARI GAIRO 2023 June 19, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa kuhitimu Darasa la Saba 2023 November 23, 2023
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNHE SHABIBY AWATAKA VIJANA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    October 30, 2023
  • FEDHA ZA RAIS SAMIA ZALETA MAGEUZI MAKUBWA GAIRO

    November 02, 2023
  • WAJUMBE WA KAMATI YA SIASA WILAYA WAKIKAGUA HOSPITALI YA WILAYA

    September 22, 2023
  • MWENYEKITI CCM WILAYA AKAGUA MIRADI YA BOOST

    August 21, 2023
  • Tazama zote

Video

MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI MHE. NYANGASI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 715240010

    Simu ya Kiganjani: +255 715240010

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa