• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SERIKALI YATAKA UFANISI KATIKA UFUATILIAJI WA MAREJESHO YA MIKOPO YA ASILIMIA 10

Posted on: December 7th, 2022

Na Fred Kibano 

Chamwino, Dodoma

Disemba 7.2022

Serikali imeagiza kufanyika tathmini ya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa vikundi vya Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu ili kubaini kiasi kilichorejeshwa na kuwakopesha wahitaji wengine.

Kauli ya Serikali imetolewa na Mheshimiwa Dkt. Festo Dugange Naibu Waziri (AFYA) Ofisi ya Rais TAMISEMI alipofanya ziara yake ya kikazi katika Halmashauri ya Chamwino tarehe 06.12.2022 ambapo aliongea na watumishi wa Halmashauri na kutoa maelekezo.

“Fedha zote za mikopo ya asilimia 10 zilizokopeshwa tangu tumeanza mwaka 2018 katika Halmashauri ya Chamwino zijulikane ilikopesha kiasi gani na kiasi gani kimerejeshwa mpaka sasa na kiasi gani hakijarejeshwa, zifanyiwe tathmini ili kujua fedha zinazokopeshwa na zinazorejeshwa” alisema Dkt. Dugange.

Dkt. Dugange ametaka kuwekwa utaratibu maalum kwa kutumia Mfumo uliopo wa mikopo ya asilimia 10 ili kufuatilia kwa ukaribu vikundi vyote viweze kurejesha mikopo kwa wakati na kuwapa fursa wahitaji wengine lengo likiwa ni kuwakwamua vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kiuchumi katika Halmashauri hiyo.

Serikali ilipitisha sheria kwa Mamlaka za Serikali za mitaa nchini kutenga asilimia 10 ya mapato yao na kuwakopesha vikundi vya akina mama, vijana na watu wenye ulemavu ili kuwakwamua kiuchumi lakini kuifanya mikopo hiyo kuwa endelevu ambapo tayari imekwishatengenezewa Mfumo wa namna ya utoaji, ufuatiliaji na ufuatiliaji.

Matangazo ya Kawaida

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Shule za Sekondari za Gairo December 16, 2022
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIKAKATI YA SERIKALI KATIKA KUDHIBITI MAGONJWA YA MILIPUKO

    December 16, 2022
  • KAIRUKI: SIMAMIENI ZOEZI LA UCHUNGUZI WA AWALI WA WATOTO

    December 12, 2022
  • WATOA HUDUMA YA VYAKULA WATAKIWA KUPIMA AFYA KUFIKIA TAREHE 31 DISEMBA 2022.

    December 09, 2022
  • MADIWANI WATAKIWA KUSIMAMIA UKUSAJI MAPATO, KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO NA WATENDAJI WA KATA

    December 08, 2022
  • Tazama zote

Video

VIBE LA MAKARANI WA SENSA GAIRO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa