• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RAIS SAMIA, WAZIRI BASHE WATUNUKIWA TUZO YA UKULIMA BORA

Posted on: October 1st, 2022

Cosmas Mathias Njingo; MOROGORO.

Oktoba 1. 2022.

 

Mkoa wa Morogoro umewatukunu tuzo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, pamoja na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (MB), ya heshima na ushiriki wao mkubwa kwa kuweka vipaumbele vya kutosha katika kuinua sekta ya kilimo na kuongeza bajeti sambamba na kupunguza bei ya pembejeo za kilimo.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubakari Mwassa, alitangaza kuwatunuku tuzo hizo Oktoba Mosi 2022, kwa niaba ya Wananchi wa Mkoa huo, wakati wa kuhitimisha wiki ya Mbio za Kilimo (Kilimo Marathone) lililoambatana na maonesho ya shughuli za kilimo na ufugaji na teknolojia mbalimbali za kilimo.

“Kwa heshima kubwa sana, na kwa niaba ya Wananchi wa Mkoa wa Morogoro, tunatoa Tuzo ya Heshima ya Mkulima Bora wa Kwanza Tanzania, kwa Rais wetu, Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan, pamoja na Mhe Bashe, Waziri wa Kilimo. Hii inaonyesha kuwa tunatambua mchango wake katika kuinua sekta ya kilimo nchini”. Alisema Mhe. Fatma Mwassa.

Mhe. Mwassa alisema kuwa, Rais Samia amedhamiria kwa dhati kuhakikisha kilimo kinainuka Tanzania kwa kupunguza bei ya pemnejeo za kilimo ambapo ametoa ruzuku ya mbolea ili kuwezesha wakulima kupata mbolea hizo kwa bei pungufu kwani serikali nayo italipia nusu ya gharama hizo, ambapo bei ya ambolea imeshuka kutoka Shilingi 120,000 hadi shilingi elfu 60,000 kwa nfuko wa kilo 20.

“Mheshimiwa Rais na Waziri wa Kilimo wameonyesha mahaba makubwa sana kwa wakulima wetu, sekta ya kilimo kwa mwaka huu imetengewa bajeti kubwa haijawahi tokea. Lengo ni kuhakikisha mkulima ananufaika na fursa mbalimba ili kilimo kiwe na tija. Ninaishukuru sana Serikali yetu kwa kupunguza bei yam bole na kutoa ruzuku kwenye bidhaa hii”. Alishukru Mhe. Mwassa.

Aidha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Mwassa alisema Serikali inayoongozwa na Rais Samia, imerejesha kwa Wananchi, mashamba yote makubwa yaliyokuwa yakimilikiwa na watu Binafsi, na kuongeza kuwa Wakulima watapata fursa ya kumili aridhi baada ya kukukabidhiwa mashamba hayo wayamiliki kisheria.

“Mhe Rais Samia, amerudisha mashamba makubwa mikononi mwa Wananchi. Ni jukumu letu sisi viongozi, kuhakikisha mashamba hayo yanagawiwa vyema ili kila Mwananchi wa Mkoa wa Morogoro apate fursa ya kumiliki Ardhi”. Aliagiza Mkuu huyo wa Mkoa.

Akizungumzia kuhusu skimu za Umwagiliaji, Mhe. Mwassa alisema Serikali imetoa kiasi cha Shilingi 16.5 milioni, kwa Mkoa wa Morogo, za ujenzi na uboreshaji wa miundombinu kwenye skimu tatu za umwagiliaji ikiwa ni mikakati madhubuti ya Serikali katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya Tabia Nchi.

Hitimisho la Wiki ya kilimo Marathoni ilitanguliwa na mashindano yambio yakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Mwassa, Wakuu wa Wilaya pamoja na Wadau mbalimbali. Ambapo mbio hizo ziligawanywa katika umbali tofauti tofauti ikiwepo wa KM 5, Km 10, Km 15 na Km 20.

Matangazo ya Kawaida

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Shule za Sekondari za Gairo December 16, 2022
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YATAKA UFANISI KATIKA UFUATILIAJI WA MAREJESHO YA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    December 07, 2022
  • WAGANGA WAKUU, WAFAMASIA WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUZINGATIA TARATIBU ZA UTOAJI DAWA

    December 06, 2022
  • SHERIA NDOGO YA KUDHIBITI SUMUKUVU KUWABANA WAKULIMA, WAUZAJI, WASAMBAZAJI, WASINDIKAJI WA MAZAO.

    December 05, 2022
  • WANAOISHI NA ULEMAVU, WAASWA KUTOJITENGA NA JAMII INAYOWAZUNGUKA

    December 03, 2022
  • Tazama zote

Video

VIBE LA MAKARANI WA SENSA GAIRO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255232935454

    Simu ya Kiganjani: +255 767498981

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa