• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MOTISHA KWA WALIMU KATIKA WIKI LA ELIMU GAIRO

Posted on: February 21st, 2023

Mwl. Afro Joseph Lucian, Mkufunzi kutoka Chuo cha Ualimu Mhonda Manispaa ya Morogoro, akiwezesha mada ya Mtaala wa Ujenzi wa Umahiri wakati wa Mafunzo elekezi kwa Walimu wa Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari Wilaya ya Gairo.

Kwa mujibu wa Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Wilaya Mwl. Kulwa Mgallu, Mafunzo hayo elekezi yamegawanywa katika kada kuu tatu ikiwepo kanda ya Gairo, Kanda ya Rubeho na Kanda ya Chakwale ambapo yanaenda sambamba na Maadhimisho ya Wiki ya Elimu inayotarajiwa kuhitimishwa Februari 18.2023.

Mgallu alisema katika kuhitimisha wiki ya Elimu Gairo, Halmashauri imepanga kuwatunuku vyeti vya heshima Walimu waliofalisha vizuri masomo yao na shule zilizoweza kupambana kufuta sifuri ikiwa ni kutambua mchango wao wa kuinua taaluma katika Wilaya ya Gairo

Matangazo ya Kawaida

  • FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO, SHULE YA SEKONDARI GAIRO 2023 June 19, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa kuhitimu Darasa la Saba 2023 November 23, 2023
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNHE SHABIBY AWATAKA VIJANA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    October 30, 2023
  • FEDHA ZA RAIS SAMIA ZALETA MAGEUZI MAKUBWA GAIRO

    November 02, 2023
  • WAJUMBE WA KAMATI YA SIASA WILAYA WAKIKAGUA HOSPITALI YA WILAYA

    September 22, 2023
  • MWENYEKITI CCM WILAYA AKAGUA MIRADI YA BOOST

    August 21, 2023
  • Tazama zote

Video

MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI MHE. NYANGASI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 715240010

    Simu ya Kiganjani: +255 715240010

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa