• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KUSHINDISHA NJAA WATOTO WA SHULE NI UKATILI

Posted on: August 15th, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Agosti 15.2023.Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Gairo Mhe. Raheli Nyangasi, amemwagiza Mkurugenzi wa Mtendaji wa Halmshauri hiyo pamoja Na Wakuu wa Divisheni za Elimu Awali, Msingi na Sekondari kuhakikisha shule zote zinatoa chakula cha mchana kwa Wanafunzi ili kuongeza bidi ya mahudhurio na kuinua ufaulu

Ametoa kauli hiyo Agasti 11.2023 katika hotuba yake ya ufunguzi wa Kikao cha Kawaida cha Baraza la Waheshimiwa Madiwani cha kujadili taarifa za Robo ya Nne kwa kipind cha Aprili Juni 2022/2023 kwenye ukumbi mkubwa wa Mikutano wa Halmashauri.

“Ninakuagiza Mkurugenzi na Wataam wako wa divisheni husika, hili nalo mkalishughulikie. Tunataka kufikia Agosti 30.2023 kila shule iwe imeanza kutoa chakula cha mchana kwa wanafunzi wote’. Aliagiza Mhe. Nyangasi.

Mwenyekiti huyo wa Halmashauri akabinisha kuwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto vipo vya aina nyingi, nakuongezw kwamba hata kutowapatia Wanafunzi chakula cha mchana shuleni ni mojawapo ya vitendo vinavyoashiria ukatili kwao hali ambayo inadumaza ustawi wa maendeleo yao na kuondoka usiku.

“Kitendo cha kuwanyima Wanafunzi chakula cha mchana shuleni ni ukatili dhidi ya Watoto; haiwezekani sisi watu wazima tunalazimisha kupata chakula cha mchana halafu watoto wetu hatuwatilii mkazo na tunataka kuona ufaulu unapanda. Hii haiwezekani”. Alisema.



Matangazo ya Kawaida

  • FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO, SHULE YA SEKONDARI GAIRO 2023 June 19, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa kuhitimu Darasa la Saba 2023 November 23, 2023
  • SOMA TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KADA MBALIMBALI May 25, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUZOA TAKA, KUFANYA USAFI NA KUKUSANYA USHURU WA USAFI June 01, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNHE SHABIBY AWATAKA VIJANA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    October 30, 2023
  • FEDHA ZA RAIS SAMIA ZALETA MAGEUZI MAKUBWA GAIRO

    November 02, 2023
  • WAJUMBE WA KAMATI YA SIASA WILAYA WAKIKAGUA HOSPITALI YA WILAYA

    September 22, 2023
  • MWENYEKITI CCM WILAYA AKAGUA MIRADI YA BOOST

    August 21, 2023
  • Tazama zote

Video

MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI MHE. NYANGASI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA SITA 2022 GAIRO SEKONDARI
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 715240010

    Simu ya Kiganjani: +255 715240010

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa